Author - jambofix

Taarifa ya msima wa Sheikh Ahmed Islam

Innalillahi wainna ilayhi raajiuun...! Mzee wetu Sheikh Ahmed Islam, mmoja miongoni mwa waanzilishi wa TMSTF amefariki jana 23.12.2017. Maziko yatafanyika leo Jumapili 24.12.2017 baada ya Swalaatil-Asir. Ataswaliwa Msikiti wa Maamour, Upanga na kuzikwa Makaburi ya Wangazija, Barabara ya Bibi Titi. Shughuli zote za maziko, wanawake na wanaume zinafanyika Msikiti Maamour. Mwenyezi Mungu Amrehemu na...

Read more...